Mtangazaji Frank Mtao wa SBS Swahili, alifanikiwa kuongea na mchambuzi wa soka maarufu Dr. Ricky Abdallah ambaye aliichambua mechi kubwa ya usiku huu kati ya Chelsea dhidi ya Manchester United.
Dr. Ricky, alikuwa akiongea kwa njia ya simu moja kwa moja kutoka Dar es Salaam ambapo ni moja ya miji yenye mashabiki wengi wa timu hizi mbili za soka katika Afrika Mashariki.
Share





