Haya hapa mazungumzo tuliyofanya na mtaalamu wa masuala ya fedha Bwana Juma Rashidi ambaye alitoa uchambuzi mzuri kuhusiana na hilo.
Mtazamo wa uchumi baada ya janga la Corona

The United Nations says East Africa could face a food crisis as a result of the coronavirus pandemic Source: LightRocket
Nchi zinazoendelea bado pia ziko kwenye mapambano ya janga hili la COVID - 19. Mataifa mengi yatayumba kiuchumi, swali ni je yatajiinua vipi kurudi kwenye hali yake ya kawaida?
Share