Wakati hesabu ya ina endelea katika viti vinavyo salia Magharibi Australia, chama cha One Nation kinaonekana kuwa kime feli kutimiza matarajio yake.
Hata hivyo kiongozi wa chama hicho Pauline Hanson anaendelea kuwa na matumaini kuhusu uwezo wa chama chake kushinda kiti kimoja au viwili katika nyumba ya juu ya bunge.
Wakati huo huo wanachama wa serikali ya shirikisho wame endelea kujiweka mbali na chama cha Liberal ambacho kime shindwa katika uchaguzi wa magharibi Australia.
Share





