Elimu, uwekazaji wa miundombinu na msamaha wa kodi kwa makampuni zita jumuishwa katika tangaza la bajeti ambalo lita tangazwa leo Jumanne.
Serikali ya Waziri Mkuu Malcolm Turnbull, inatarajiwa kutangaza bajeti yake ya kwanza tokea alipo ingia madarakani miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu.
Share





