Mamlaka nchini Fiji ina endelea kuchunguza viwango vya uharibifu baada ya taifa hilo kukabiliwa kwa vimbunga vikali katika historia ya ukanda wa kusini mwa ulimwengu. Imeripotiwa kuwa idadi ya watu 10 wame uawa na vimbunga hivyo. Amri ya kutotoka nje nchini kote ili ondolewa jana (jumatatu), wakati watawala wali kuwa waki endelea na shughuli zaku fungua barabara muhimu na uwanja wa ndege.
Share





