Watch FIFA World Cup 2026™ LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Serikali ya futa viza zamamia yawahalifu walio hukumiwa

Serikali imewafukuza nchini idadi yawatu mianane ambao si raia baada yakufuta viza zia

Serikali imewafukuza nchini idadi yawatu mianane ambao si raia baada yakufuta viza zia Source: AAP

Viza za idadi ya wahalifu zaidi ya takriban mia nane zilifutwa nchini Australia mwaka jana wa 2018, asilimia 12 kati ya wenye viza hizo wakiwa wamehusika katika unyanyasaji wakingono dhidi ya watoto au unyanyasaji wa watoto.


Viza za watu hao zilifutwa chini ya sheria zenye masharti, yaku futa viza za wahalifu ambao si raia wa Australia, ambao wame pewa hukumu ya miezi kumi na mbili au zaidi gerezani.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now