Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Serikali yakata msaada kwa wakimbizi 100 Australia

Waandamanaji wakiomba vizuizi vya PNG na Nauru vifungwe

Waandamanaji wakiomba vizuizi vya PNG na Nauru vifungwe Source: Getty Images

Serikali ya shirikisho ime anza maandalizi yaku kata msaada waki fedha kwa idadi ya wakimbizi 100, walio letwa nchini Australia kutoka vizuizi nje ya nchi kupokea matibabu.


Published

Updated

By SBS Swahlii

Source: SBS



Share this with family and friends


Serikali ya shirikisho ime anza maandalizi yaku kata msaada waki fedha kwa idadi ya wakimbizi 100, walio letwa nchini Australia kutoka vizuizi nje ya nchi kupokea matibabu.


Hata hivyo hatua hiyo yaku kata msaada huo, huenda ita zuiwa ndani ya Seneti na imekosolewa na wanasheria wanao tetea haki za binadam pamoja na vyama vya upinzani.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now