Serikali yakata msaada kwa wakimbizi 100 Australia

Waandamanaji wakiomba vizuizi vya PNG na Nauru vifungwe

Waandamanaji wakiomba vizuizi vya PNG na Nauru vifungwe Source: Getty Images

Serikali ya shirikisho ime anza maandalizi yaku kata msaada waki fedha kwa idadi ya wakimbizi 100, walio letwa nchini Australia kutoka vizuizi nje ya nchi kupokea matibabu.


Hata hivyo hatua hiyo yaku kata msaada huo, huenda ita zuiwa ndani ya Seneti na imekosolewa na wanasheria wanao tetea haki za binadam pamoja na vyama vya upinzani.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service