Serikali ya shirikisho ime anza maandalizi yaku kata msaada waki fedha kwa idadi ya wakimbizi 100, walio letwa nchini Australia kutoka vizuizi nje ya nchi kupokea matibabu.
Hata hivyo hatua hiyo yaku kata msaada huo, huenda ita zuiwa ndani ya Seneti na imekosolewa na wanasheria wanao tetea haki za binadam pamoja na vyama vya upinzani.
Share





