Grace ni mkaazi wa mji wa mpakani wa Wodonga jimboni Victoria, ame eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi amri yakufunga mpaka kati yajimbo lake na jimbo jirani la New South Wales, ilivyo badili maisha yawakazi wa miji ya mpakani.

Magari yapiga foleni kukaguliwa katika kizuizi cha polisi katika mji wa mpaka wa Albury, NSW Source: Getty Images
Grace ni mkaazi wa mji wa mpakani wa Wodonga jimboni Victoria, ame eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi amri yakufunga mpaka kati yajimbo lake na jimbo jirani la New South Wales, ilivyo badili maisha yawakazi wa miji ya mpakani.