Grace:"Kufungwa mpaka wa VIC-NSW, kuna usumbufu lakini nikwa maslahi yetu"

Magari yapiga foleni kukaguliwa katika kizuizi cha polisi

Magari yapiga foleni kukaguliwa katika kizuizi cha polisi katika mji wa mpaka wa Albury, NSW Source: Getty Images

Hatua yakufunga mpaka kati yajimbo la Victoria na New South Wales, kwa ajili yakudhibiti usambaaji wa Coronavirus imezua hisia mseto miongoni mwa wakazi wamajimbo hayo mbili.


Grace ni mkaazi wa mji wa mpakani wa Wodonga jimboni Victoria, ame eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi amri yakufunga mpaka kati yajimbo lake na jimbo jirani la New South Wales, ilivyo badili maisha yawakazi wa miji ya mpakani.

 


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Grace:"Kufungwa mpaka wa VIC-NSW, kuna usumbufu lakini nikwa maslahi yetu" | SBS Swahili