Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Grace:"Kufungwa mpaka wa VIC-NSW, kuna usumbufu lakini nikwa maslahi yetu"

Magari yapiga foleni kukaguliwa katika kizuizi cha polisi

Magari yapiga foleni kukaguliwa katika kizuizi cha polisi katika mji wa mpaka wa Albury, NSW Source: Getty Images

Hatua yakufunga mpaka kati yajimbo la Victoria na New South Wales, kwa ajili yakudhibiti usambaaji wa Coronavirus imezua hisia mseto miongoni mwa wakazi wamajimbo hayo mbili.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Hatua yakufunga mpaka kati yajimbo la Victoria na New South Wales, kwa ajili yakudhibiti usambaaji wa Coronavirus imezua hisia mseto miongoni mwa wakazi wamajimbo hayo mbili.


Grace ni mkaazi wa mji wa mpakani wa Wodonga jimboni Victoria, ame eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi amri yakufunga mpaka kati yajimbo lake na jimbo jirani la New South Wales, ilivyo badili maisha yawakazi wa miji ya mpakani.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now