Huwa unafuturu vipi wakati wa Ramadhani?

Waumini washiriki katika Iftar

Waumini washiriki katika Iftar Source: Islamic Society of UniSA.

Waislamu nchini Tanzania na duniani kote, wanashiriki katika mfungo wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.


Sheikh Musa kutoka jamuiya ya Watanzania NSW, aliielezea idhaa ya Kiswahili ya SBS kuhusu umuhimu wa mfungo wa Ramadhani kwa waislamu nchini Australia na duniani kote, pamoja na taratibu za kufuturu baada ya kufunga siku nzima.


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now