Bw Ngatia alizungumzia umuhimu wa wazazi kutengeza mazingira chanya ambako wanao wanaweza fuata ndoto zao, pamoja nakupata mwongozo katika ajira wanazo pendelea.

Bw Ngatia anatumai mafanikio ya mwanawe yatawapa vijana waki afrika moyo pamoja nakuwaongezea imani kuwa nao pia wanaweza fanikiwa iwapo wata ongeza bidii katika kila kitu wanacho fanya.
Share





