Idara ya afya ya NSW yahamasisha jamii itii ushauri kuhusu COVID-19

Bi Marian mfanyakazi wa Idara ya Afya ya NSW

Bi Marian, ni mwalimu katika kitengo cha huduma yawakimbizi, ambacho ni sehemu ya Idara ya Afya ya NSW Source: Marian

Hali ya tahadhari imeongezeka jimboni New South Wales, baada ya ongezeko ya visa vya COVID-19 katika jimbo jirani la Victoria.


Ongezeko hilo la visa vya COVID-19 jimboni Victoria, limesababisha majimbo hayo mawili kufunga mpaka unao ziunganisha, kwa ajili yakudhibiti usambaaji wa maambukizi.

Bi Marian kutoka kitengo cha huduma yawakimbizi katika idara ya afya ya NSW, ame eleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS jinsi shirika lake linavyo wa andaa watu walio wasili nchini hivi karibuni kama wakimbizi, kukabiliana na janga la COVID-19 pamoja na jinsi yakuepuka maambukizi ya virusi hivyo.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service