Mwenyekiti wa Tume huru ya uchaguzi na mipaka ya Kenya, Bw Ahmed Issack Hassan, alifanya ziara nchini Australia kuchunguza mchakato wa uchaguzi mkuu.
Bw Hassan alizungumzia changamoto zinazo ikabili tume ya IEBC nchini Kenya, akijumuisha pendekezo za suluhu ambazo anatumai zitawaridhisha wanachama wa upinzani, ambao wame kuwa waki endesha kampeni yakumshinikiza ajiuzulu.
Kwa maelezo ya ziada kuhusu tume ya IEBC, tazama tovuti hii:
www.iebc.or.ke
Share





