Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Jumuiya yakimataifa yasaliti Bukoba na Kagera

Maziri Mkuu wa Tanzania azuru shule ya sekondari ya Ihungo pamoja na maeneo mengine yaliyo athirika katika tetemeko la ardhi mjini, Bukoba, Tanzania
Maziri Mkuu wa Tanzania azuru shule ya sekondari ya Ihungo pamoja na maeneo mengine yaliyo athirika katika tetemeko la ardhi mjini, Bukoba, Tanzania Source: PMO

Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Wenyeji wana dai vyombo vya habari vyakimataifa pamoja na mashirika yakimataifa vimewasaliti. Hisia hizo ni tofauti na zile za wenyeji katika maeneo mengine ambayo yamekumbwa na majanga, ambako jumuiya yakimataifa hufika kwa haraka kutoa msaada.

SBS Swahili ilizungumza na mwandishi we BBC Swahili Sammy Awami akiwa katika eneo husika.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now