SBS Swahili ilizungumza na Konsali wa heshima wa Tanzania nchini Australia Mh Sosi Msomi.
Mh Msomi alizungumzia majukumu yake kama mwakilishi wa serikali ya Tanzania, alizungumzia pia mada tata ya uraia pacha pamoja na swala la watanzania wanao ishi Australia, kushiriki katika mchakato wasiasa na upigaji kura wa nchi yao.
Bonyeza hapo juu, kusikiza mahojiano kamili.
Share





