Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je dini inaumuhimu gani wakati wa janga?

Pastor John na Pascasie Omari

Pastor John na Pascasie Omari Source: Pastor John Omari

Janga linapotokea watu wengi humkaribia Mungu kwa njia na nia tofauti.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Janga linapotokea watu wengi humkaribia Mungu kwa njia na nia tofauti.


Ila, unapoendelea kusali na hauoni ishara yoyote ya jibu, imani yako hutikiswa kiasi gani?

Mchungaji John Omari na mkewe Pascasie Riziki huwa wanahudumu katika kanisa la Jesus Family Centre (JFC) katika kitongoji cha Cabramatta, NSW, Australia. Kwenye mahojiano haya, walifafanua jinsi Mungu hujibu maombi, pamoja na jinsi muumini anastahili kuwa panapotokea janga /changamoto yoyote.

Je ulishawahi mkabidhi Mungu tatizo lako, na maombi yako yakajibiwa? Wasiliana nasi kwa barua pepe: swahili.program@sbs.com.au au changia uzoefu wako hapa: facebook.com/SBS Swahili


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now