Je dini inaumuhimu gani wakati wa janga?

Pastor John na Pascasie Omari

Pastor John na Pascasie Omari Source: Pastor John Omari

Janga linapotokea watu wengi humkaribia Mungu kwa njia na nia tofauti.


Ila, unapoendelea kusali na hauoni ishara yoyote ya jibu, imani yako hutikiswa kiasi gani?

Mchungaji John Omari na mkewe Pascasie Riziki huwa wanahudumu katika kanisa la Jesus Family Centre (JFC) katika kitongoji cha Cabramatta, NSW, Australia. Kwenye mahojiano haya, walifafanua jinsi Mungu hujibu maombi, pamoja na jinsi muumini anastahili kuwa panapotokea janga /changamoto yoyote.

Je ulishawahi mkabidhi Mungu tatizo lako, na maombi yako yakajibiwa? Wasiliana nasi kwa barua pepe: swahili.program@sbs.com.au au changia uzoefu wako hapa: facebook.com/SBS Swahili


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service