Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Je utaratibu wakufanyiwa vipimo nakupata matibabu ya coronavirus ni upi?

CSIRO scientists research coronavirus in Victoria.

CSIRO scientists research coronavirus in Victoria. Source: AAP

Idadi ya watu watatu wamefariki nchini Australia, na takriban watu 100 wanakabiliana na virusi vya coronavirus nchini.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Idadi ya watu watatu wamefariki nchini Australia, na takriban watu 100 wanakabiliana na virusi vya coronavirus nchini.


Katika sehemu ya pili yamahojiano haya yakujua zaidi kuhusu kiini cha virusi hivi na jinsi yakupata kinga, Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilizungumza na mtaalam wa magonjwa yakuambukiza, anaye fanya kazi katika moja ya hospitali kubwa nchini Australia, ambako waathiriwa wa virusi hivyo wanapokea matibabu.

Mtaalam huyo alifafanua hatua ambazo mtu anastahili chukua, anapo jihisi anavirusi vya coronavirus, pamoja na mbinu zakujikinga dhidi ya maambukizi ya virusi hivyo vya coronavirus.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now