Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE starting June 12 2026

Jeb Bush ajiondoa katika kampeni ya urais wa Marekani

EPA/ERIK S. LESSER

EPA/ERIK S. LESSER Source: EPA/ERIK S. LESSER

Donald Trump amesogea hatua moja karibu kuwa mwakilishi wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais nchini Marekani. Hali hii ime jiri baada ya ushindi wa Bw Trump katika uchaguzi wa mashinani katika eneo la Kusini Carolina. Licha ya ushindi thabiti wa Bw Trump mgombea wa chama cha Democrat, Bi Hillary Clinton ali ubuka na ushindi mwembamba dhidi ya mpinzani wake Bernie Sanders katika kura za Nevada.


Published

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Donald Trump amesogea hatua moja karibu kuwa mwakilishi wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais nchini Marekani. Hali hii ime jiri baada ya ushindi wa Bw Trump katika uchaguzi wa mashinani katika eneo la Kusini Carolina. Licha ya ushindi thabiti wa Bw Trump mgombea wa chama cha Democrat, Bi Hillary Clinton ali ubuka na ushindi mwembamba dhidi ya mpinzani wake Bernie Sanders katika kura za Nevada.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now