Siku hizi kila msafiri anayewasili nchini, lazima aingie katika karantini ya COVID-19 kwa muda wa wiki mbili.
Je wahamiaji wanapokea taarifa gani kuhusu hali itakavyo kuwa, watakapo anza karantini ya wiki mbili nchini kabla waanze safari yao kuja nchini Australia?
Idhaa ya Kiswahili ya SBS ilizungumza na John, ambaye siku chache zilizo pita alimaliza karantini yake hotelini, na punde baadae akajipata chini ya vizuizi vilivyo dumu kwa muda wa siku tatu mjini Brisbane, baada ya kisa cha COVID-19 kutambuliwa mjini humo.
Bofya hapo juu usikize makala kamili, kuhusu maisha ndani ya karantini nchini Australia.
Share






