Wanajumuiya yawa Kenya wanao ishi NSW walijumuika katika bustani ya Mt Annan pamoja na Balozi wa Kenya nchini Australia.
Katika hotuba yake M.E. Isaiya Kabiira aliwahamasisha wanajumuiya hao, wazingatie umoja, upendo na heshima licha ya tafauti zao zaki kabila au siasa.




