SKIP TO MAIN CONTENT

KISWA: "Wanafunzi wakimataifa wapewe msamaha wakutolipa karo"

Bi Tabitha, Mwenyekiti wa KISWA
Bi Tabitha, Mwenyekiti wa KISWA Source: SBS Swahili

Janga la COVID-19 limewaathiri sana wanafunzi wakimataifa kote nchini Australia, janga hilo limesababisha changamoto nyingi pia kwa familia za wanafunzi hao katika nchi zao za asili.


Published

Updated

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS


Skip to podcast episode content

Janga la COVID-19 limewaathiri sana wanafunzi wakimataifa kote nchini Australia, janga hilo limesababisha changamoto nyingi pia kwa familia za wanafunzi hao katika nchi zao za asili.


Wengi wao wamepoteza ajira zao, hali ambayo ime waweka hatarini kukosa hela zakutosha kulipa karo katika taasisi wanako somea.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, mwenyekiti wa shirika la Kenyans in Sydney Welfare Association (KISWA) Bi Tabitha, aliweka wazi hatua ambazo shirika lake limechukua, kuwasaidia wanafunzi ambao wame athiriwa na janga hili la COVID-19.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now