KISWA: "Wanafunzi wakimataifa wapewe msamaha wakutolipa karo"

Bi Tabitha, Mwenyekiti wa KISWA

Bi Tabitha, Mwenyekiti wa KISWA Source: SBS Swahili

Janga la COVID-19 limewaathiri sana wanafunzi wakimataifa kote nchini Australia, janga hilo limesababisha changamoto nyingi pia kwa familia za wanafunzi hao katika nchi zao za asili.


Wengi wao wamepoteza ajira zao, hali ambayo ime waweka hatarini kukosa hela zakutosha kulipa karo katika taasisi wanako somea.

Katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, mwenyekiti wa shirika la Kenyans in Sydney Welfare Association (KISWA) Bi Tabitha, aliweka wazi hatua ambazo shirika lake limechukua, kuwasaidia wanafunzi ambao wame athiriwa na janga hili la COVID-19.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service