Lazima wafanyakazi katika makaazi ya huduma ya wazee wachanjwe

Prime Minister Scott Morrison makes an announcement on Monday evening while isolating at The Lodge, following a National Cabinet meeting.

نخست‌وزیر اسکات موریسن شامگاه روز دوشنبه (۲۸ جون) اعلام کرد که افراد زیر ۴۰ سال می‌توانند در مورد دریافت استرازنکا با داکتر خود مشورت کنند. Source: SBS

Itakuwa lazima kwa wafanyakazi wa huduma za wazee kupata chanjo za coronavirus, na kundi la wafanyakazi linalo lengwa linatarajiwa kupata dozi yao ya kwanza katikati ya Septemba.


Viongozi katika sekta hiyo, wamekaribisha uamuzi huo, kwa maneno ya onyo.

Serikali ya shirikisho itatoa dola milioni 11 kuruhusu makazi ya huduma ya wazee, kutoa malipo ya likizo kwa wafanyakazi kuchanjwa.

Kwa ushauri wa afya na misaada ambayo imewekwa kwa jibu la janga la COVID-19 katika lugha yako, tembelea tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service