Vilabu 3 vya ligi kuu ya soka ya Australia vyakwama jimboni Victoria, baada ya mpaka wa New South Wales kufungwa.
Mchambuzi mkuu wa michezo wa Idhaa yakiswahili ya SBS, ameweka wazi masaibu yanayo kumba vilabu hivyo.
Share
LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Wachezaji waligi kuu yasoka ya Australia Bruce Kamau (kushoto), Daniel De Silva (katikati) na Ben Garuccio Source: AAP
Published
By Gode Migerano
Presented by Gode Migerano
Source: SBS
Share this with family and friends


