Maelfu ya watu wakijiunga katika maandamano hayo ambako makabiliano makali dhidi ya polisi na waandamanaji waliokuwa wakipinga maandamano hayo yalishuhudiwa kote nchini.
Waandalizi wamesema matukio yalikuwa yakiomba mwisho wa wanacho zingatiwa kuwa "uhamiaji usio dhibitiwa" kuingia Australia, wakati makundi yawa Nazi, yali jipenyeza ndani ya matukio kadhaa kuchochea machafuko.