Maelfu waandamana dhidi ya uhamiaji, huku wa Nazi waki chochea vurugu

ANTI IMMIGRATION PROTEST

Protestors during the March for Australia anti-immigration rally in Melbourne, Sunday, August 31, 2025. Source: AAP / JOEL CARRETT/AAPIMAGE

Wimbi la maandamano ya kitaifa dhidi ya uhamiaji yame shuhudiwa katika miji mikubwa ya Australia.


Maelfu ya watu wakijiunga katika maandamano hayo ambako makabiliano makali dhidi ya polisi na waandamanaji waliokuwa wakipinga maandamano hayo yalishuhudiwa kote nchini.

Waandalizi wamesema matukio yalikuwa yakiomba mwisho wa wanacho zingatiwa kuwa "uhamiaji usio dhibitiwa" kuingia Australia, wakati makundi yawa Nazi, yali jipenyeza ndani ya matukio kadhaa kuchochea machafuko.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service