Bw Paul Irungu na mshiriki wake Handson Nhanhanga wakiwa ndani ya shamba lao la mahindi Source: Paul Irungu
Katika sehemu ya kwanza ya makala maalum kuhusu mashujaa wa jamii, Bw Paul Irungu alifunguka kuhusu maisha yake nchini Australia, na kazi yake ya uanaharakati katika jamii.
Katika sehemu ya kwanza ya makala maalum kuhusu mashujaa wa jamii, Bw Paul Irungu alifunguka kuhusu maisha yake nchini Australia, na kazi yake ya uanaharakati katika jamii.