Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala Leo: Argentina na Uhispania zaishi ndoto zakipekee za Kombe la Dunia

From left Lamine Yamal (Spain)/ Lionel Messi (Argentina) / Kylian Mbappé (France) / Jude Bellingham (England)
Credit: Xiao Yijiu/Peter Hansson/Cheng Min/Xinhua/Sipa USA/AAP Image

Argentina na Uhispania wanaishi ndoto ya kipekee ya Kombe la Dunia, baada yakutinga fainali ya kombe hilo. Mjini Buenos Aires na Madrid, mashabiki wanachangia jinsi walivyopitia tamthilia, hisia na sherehe.


Published

By Gonzalo Aguirregomezcorta

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Argentina na Uhispania wanaishi ndoto ya kipekee ya Kombe la Dunia, baada yakutinga fainali ya kombe hilo. Mjini Buenos Aires na Madrid, mashabiki wanachangia jinsi walivyopitia tamthilia, hisia na sherehe.


Uingereza itakabiliana na Ufaransa katika mechi yakuamua mshindi wa tatu Jumapili, Julai 19 saa 1 asubuhi kwa masaa ya mashariki ya Australia, na Argentina itakutana na Uhispania katika fainali Jumatatu, Julai 20 saa 11 asubuhi kwa masaa ya mashariki ya Australia.

Mechi zote mbili zitaonyeshwa moja kwa moja bila malipo kwenye runinga ya SBS na mtandaoni kupitia SBS OnDemand.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now