Leo asubui Mwalimu wa timu ya taifa ya Australia Tony Popovic ametangaza kikosi chake cha wachezaji 26, cha Socceroos watakao cheza katika Kombe la Dunia la FIFA la 2026.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Tangazo hili limejiri kwa wakati unaofaa, kwa sababu timu zote 48 zilipewa tarehe ya mwisho ya Juni 1 kukamilisha timu zao.
Na kama ilivyotabiriwa, kuna wachezaji wawili wa kushangaza waliojumuishwa, pamoja na kutokuwepo kwa baadhi ya wachezaji mashuhuri.
Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.






