Nigeria imesema itaitaka Afrika Kusini ilipe fidia kwa raia wake acha mali na biashara zao baada yaku kimbia nchi hiyo kutoka na maandamano dhidi ya wahamiaji.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Wakati huo huo, Mvutano wa kidiplomasia umeibuka kati ya Afrika Kusini na Ghana kufuatia madai kwamba raia wa Ghana aliuawa wakati wa maandamano dhidi ya wahamiaji, madai ambayo maafisa wa Afrika Kusini wameyakanusha.
Bofya hapo juu kwa taarifa zaidi.
Share






