Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Makala Leo:Kusini Australia yatoa mpango wakupiga marufuku wahalifu wa vurugu kutoka programu zakuchumbiana

A woman holds a smartphone displaying dating apps (Alicia Windzio-dpa).jpg

Jimbo la Kusini Australia limefichua mpango wa kwanza wa kupiga marufuku vurugu za majumbani na wahalifu wa kujamiana kutoka kwa programu za kuchumbiana.


Published

By Deborah Groarke

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Jimbo la Kusini Australia limefichua mpango wa kwanza wa kupiga marufuku vurugu za majumbani na wahalifu wa kujamiana kutoka kwa programu za kuchumbiana.


Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa

Mwanasheria Mkuu wa jimbo hilo Kyam Maher anasema pendekezo hilo litaboresha usalama kwa wale wanaohusika katika kuchumbiana mtandaoni.

Hatua hiyo inafuatia ripoti iliyotolewa na Taasisi ya Uhalifu ya Australia mnamo 2022, ambayo iligundua kuwa theluthi moja ya waliohojiwa walifanyiwa ukatili wa kingono na mtu waliyekutana naye kwenye programu au tovuti katika miaka mitano iliyopita.

Bofya hapo juu kwa taarifa zaidi.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now