Makundi ya waumini yaomba vizuizi vichache kwa ibada

Coronavirus imesababisha usumbufu mkubwa kwa jamii zawaumini nchini Australia.

Coronavirus imesababisha usumbufu mkubwa kwa jamii zawaumini nchini Australia. Source: Aaron Fernandes/SBS News

Waumini ambao wame zuiwa kujumuika katika sehemu za ibada wakati wa vizuizi jijini Melbourne, wameomba wahudumiwe vizuri zaidi katika hatua ijayo yakuregezwa kwa vizuizi.


Watu hao wame gadhabishwa na hatua yakuwaruhusu watu wengi zaidi, kujumuika migahawani, kuliko sehemu za ibada chini ya mchakato wa jimbo la Victoria, wakurejesha hali ya kawaida jimboni humo. Waumini hao wame wasilisha maombi yao kwa kiongozi wa jimbo la Victoria.

Takriban 60% yawa Victoria, walijitambua kama waumini katika sensa iliyo pita.

Viongozi wakidini wanatumai vizuizi vitakavyo regezwa jumapili 18 Oktoba, vitawaletea afueni.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Makundi ya waumini yaomba vizuizi vichache kwa ibada | SBS Swahili