SBS Swahili ilizungumza na Bi Maria Bubeshi, mwanzilishi wa kampuni inayo uza vifaa vyenye asili ya Afrika.
Makao makuu ya kampuni hiyo ni mjini Adelaide, Kusini Australia, ambako Bi Maria hubuni naku unda baadhi ya vifaa hivyo.
Vifaa hivyo vime kuwa maarufu mjini Adelaide ambako Bi Maria aliviwasilisha kwa umati wa watu walio hudhuria maonesho ya sanaa yakiafrika katika barabara ya Eliza, mjini Adelaide, Australia.
Kwa maelezo zaidi kuhusu kampuni na vifaa vya Bi Maria Bubeshi tembelea ukurasa wake wa facebook: Blanka Marie
Share





