Martin: Asilimia 95 yawatu wanatekeleza wajibu wao kuzuia COVID-19 Melbourne

Victoria yaingia katika wiki ya tatu ya vizuizi vikali vyaku kabili COVID-19

Victoria yaingia katika wiki ya tatu ya vizuizi vikali vyaku kabili COVID-19 Source: AAP

Serikali ya jimbo la Victoria kwa ushirikiano na umma inaongoza kampeni yakuzuia usambaaji wa virusi vya COVID-19 jimboni humo.


Bw Martin ni mwanachama wa jamii ya wakenya wanao ishi Melbourne, katika mazungumzo maalum na Idhaa ya Kiswahili ya SBS, alitueleza jinsi jamii yake inakabiliana na hatua kali ambazo serikali imetangaza kudhibiti usambaaji wa COVID-19.

Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service