Mji wa Cowra waingia katika amri yakuto toka nje, wakati idadi ya kesi za maambukizi yaendelea kuongezeka Victoria

Shamba canola mjini Cowra New South Wales alfajiri

Shamba canola mjini Cowra New South Wales alfajiri Source: Getty Images

Mji wa kanda wa Cowra jimboni New South Wales, uli ingia katika amri yakufungiwa ndani kuanzia saa kumi na moja jioni ya Jumatatu katika jibu wa ongezeko la idadi ya visa vya COVID-19.


Wakati huo huo jimboni Victoria, kume kuwa ongezeko ya idadi ya maambukizi na kwa sasa jimbo hilo limerekodi kesi mpya 567.

Wilaya ya kaskazini nayo imerekodi kesi moja mpya ya COVID-19, baada ya mwanaume mmoja aliye wasili mjini Darwin kutoka New South Wales na akapatwa na virusi hivyo. Mwanaume huyo alipatwa na virusi hivyo Jumapili na kwa sasa, yuko ndani ya kituo chakitaifa kwa jina la Centre for National Resilience, ambacho kiko katika eneo la Howard Springs, karibu ya mji wa Darwin.

Ufuatiliaji wa watu walio kutana na mwanaume huyo unaendelea, na kufikia sasa idadi ya watu 24 wame tambuliwa. Kwa hatua za msaada na afya ambazo zipo, katika jibu la janga la COVID-19 katika lugha yako, tembelea sbs.com.au/coronavirus


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mji wa Cowra waingia katika amri yakuto toka nje, wakati idadi ya kesi za maambukizi yaendelea kuongezeka Victoria | SBS Swahili