Morrison atangaza mageuzi makubwa, katika uwekezaji wa shule

Waziri Mkuu Scott Morrison, na waziri wa elimu Dan Tehan

Waziri Mkuu Scott Morrison, na waziri wa elimu Dan Tehan, wawasili kutoa tangazo kuhusu mageuzi katika uwekezaji wa shule Source: AAP

Sekta ya shule zaki katoliki na shule huru zita faidi kutoka uwekezaji wama bilioni ya dola, baada ya serikali ya shirikisho kutangaza mageuzi kuhusu jinsi itakavyo hesabu utajiri wa shule.


Ila wakosoaji wamesema uwekezaji huo, ni kama "hongo", kuhakikisha shule hazi fanyi kampeni dhidi ya serikali katika uchaguzi mkuu mwaka kesho.

Mwaka ujao, shule huru naza kikatoliki, zitapokea uwekezaji wa dola laki moja elfu sabini.

Maelezo ya ziada kuhusu uwekezaji huo, yata tolewa Disemba katika tathmini ya bajeti ya kati ya mwaka.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service