Ila wakosoaji wamesema uwekezaji huo, ni kama "hongo", kuhakikisha shule hazi fanyi kampeni dhidi ya serikali katika uchaguzi mkuu mwaka kesho.
Mwaka ujao, shule huru naza kikatoliki, zitapokea uwekezaji wa dola laki moja elfu sabini.

Waziri Mkuu Scott Morrison, na waziri wa elimu Dan Tehan, wawasili kutoa tangazo kuhusu mageuzi katika uwekezaji wa shule Source: AAP
Mwaka ujao, shule huru naza kikatoliki, zitapokea uwekezaji wa dola laki moja elfu sabini.

SBS World News