Chama chawafanya kazi kinacho wakilisha madereva wama lori nchini Australia, kime kosoa mipango ya serikali ya Turnbull, kuvunja tume inayo shughulikia maswala ya usalama barabarani.
Wiki jana Waziri Mkuu Malcolm Turnbull ali ahidi kwamba, iwapo serikali ya mseto ita fanikiwa kupata ushindi katika uchaguzi mkuu ujao, serikali yake ita vunja mahakama ya mapato na usalama wa barabara. Uamuzi huo ume fuata hasira iliyo zuliwa na uamuzi wa tume hiyo, kuhusu mapato ya wamiliki ambao pia ndiwo madereva wamalori wanayo miliki.
Share





