Mpaka kati ya majimbo ya New South Wales na Victoria wafunguliwa baada ya miezi tano

Wasafiri kutoka Melbourne, wakaribishwa katika uwanja wa ndege wa Sydney.

Wasafiri kutoka Melbourne, wakaribishwa katika uwanja wa ndege wa Sydney. Source: AAP

Maelfu yawa Australia wame tumia anga au barabara, baada ya mpaka kati ya jimbo la New South Wales na Victoria kufunguliwa tena, baada ya takriban miezi mitano au siku 137.


Hatua hiyo imejiri katika wiki ambapo jimbo la Victoria, linasalia na siku nne tu, kufikia ufafanuzi rasmi wakutokomeza COVID-19 katika jamii.

Na unaweza endelea kupoea taarifa mpya kuhusu coronavirus katika lugha yako kwenye tovuti hii: sbs.com.au/coronavirus


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Mpaka kati ya majimbo ya New South Wales na Victoria wafunguliwa baada ya miezi tano | SBS Swahili