Mpango wakupiga jeki idadi ya walimu wa ufundi kushughulikia uhaba wa ujuzi nchini Australia

Skills Minister Andrew Giles says vocational education and training should be equally valued as universities when it comes career opportunities

Australian Skills Minister Andrew Giles addresses the National Press Club in Canberra, Tuesday, August 26, 2025. (AAP Image/Lukas Coch) NO ARCHIVING Source: AAP / LUKAS COCH/AAPIMAGE

Serikali ya shirikisho imetangaza mpango wenye thamani ya $30 milioni, kupiga jeki idadi ya wakufunzi wa elimu ya ufundi.


Mpango huo ulijiri wakati serikali ya shirikisho ina zindua wiki ya kitaifa ya ujuzi, kukuza chaguzi kwa mafunzo ya muda mrefu kwa wa Australia wakati kuna endelea kuwa uhaba wa ujuzi.

Kwa wale ambao wanatoka katika jumuiya zawa hamiaji na wakimbizi, fursa ya ustadi ime onekana kama ukurasa mpya wakusisimua katika maisha yao nchini Australia.

Bonyeza hapo juu kwa taarifa kamili.

Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service