Wanachama wa Jumuiya za Afrika wanao ishi jijini Sydney, New South Wales wana jiandaa kuhudhuria tamasha maalum.
Sikiliza makala yetu yaliyo rekodiwa hapa
Mumbi Hinga ni Mkurugenzi wa shirika la Africa Film Fest Australia. Katika mahojiano na SBS Kiswahili alifunguka kuhusu maandalizi ya tamasha ya mwaka huu, pamoja na shughuli ambazo watakao hudhuria tamasha hiyo wata shiriki.
Kwa ratiba na maelezo zaidi kuhusu tamasha hii, tembelea:
Bofya hapo juu kwa taarifa kamili.
Share





