Shirika la GLAPD International, limewafungulia mlango wanafunzi wakimataifa na wahamiaji, ambao hawafuzu kupokea msaada kutoka serikali ya shirikisho wakati huu wa janga la COVID-19.
Kiongozi wa shirika hilo Bw Musoni alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS, jinsi waathiriwa wa COVID-19 wanavyo faidi kutoka huduma ambazo shirika lake inatoa.
Kwa taarifa ya ziada kuhusu miradi ya misaada ya shirika la GLAPD International, tembelea tovuti yao: www.glapd.org.au
Share






