Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Musoni: Mradi wa GLAPD wakuwasaidia waathiriwa wa COVID-19 unaendelea

Emmanuel Musoni, kiongozi wa shirika la GLAPD International

Emmanuel Musoni, kiongozi wa shirika la GLAPD International. Source: Mireille Kayeye

Shirika la GLAPD International, limewafungulia mlango wanafunzi wakimataifa na wahamiaji, ambao hawafuzu kupokea msaada kutoka serikali ya shirikisho wakati huu wa janga la COVID-19.


Published

By Gode Migerano

Presented by Gode Migerano

Source: SBS



Share this with family and friends


Shirika la GLAPD International, limewafungulia mlango wanafunzi wakimataifa na wahamiaji, ambao hawafuzu kupokea msaada kutoka serikali ya shirikisho wakati huu wa janga la COVID-19.


Kiongozi wa shirika hilo Bw Musoni alieleza Idhaa ya Kiswahili ya SBS, jinsi waathiriwa wa COVID-19 wanavyo faidi kutoka huduma ambazo shirika lake inatoa.

Kwa taarifa ya ziada kuhusu miradi ya misaada ya shirika la GLAPD International, tembelea tovuti yao: www.glapd.org.au


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now