SKIP TO MAIN CONTENT

Nick Xenophon ajiondoa katika bunge la taifa

Seneta Nick Xenophon akiwa mjini Adelaide baada ya tangazo lake
Seneta Nick Xenophon akiwa mjini Adelaide baada ya tangazo lake Source: AAP

Seneta Nick Xenophon amekana madai kuwa ame ondoka katika siasa zaki taifa kwa sababu ya mgogoro wa kesi za uraia pacha.


Published

By Marija Zivic

Presented by SBS Swahili

Source: SBS



Skip to podcast episode content

Seneta Nick Xenophon amekana madai kuwa ame ondoka katika siasa zaki taifa kwa sababu ya mgogoro wa kesi za uraia pacha.


Bw Xenophon ametangaza kuwa ata kuwa mgombea katika uchaguzi wa Kusini Australia mwaka ujao.

Kiti chake cha seneti kita rithiwa na mgombea mwingine wa chama cha NXT.


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now