Vyama vya upinzani vyaongoza maandamano Bukavu na Goma, DR Congo

Waandamanaji wajumuika mitaani dhidi ya uongozi wa Rais Joseph Kabila wa D R Congo

Waandamanaji wajumuika mitaani dhidi ya uongozi wa Rais Joseph Kabila wa D R Congo Source: Getty Images


Wandamanaji wana dai kupinga uamuzi wa mahakama ya kikatiba mapema mwezi huu kwamba rais Joseph kabila atasalia madarakani baada ya mda wake kukamilika iwapo uchaguzi hautafanyika mwishoni mwa mwaka huu na pia kulaani mauaji katika wilaya ya Beni.taarifa za hivu hivi punde za sema watu wanne wamefariki dunia mjini Goma wakiwemo askari polisi wawili.

Mwandishi wa SBS, nchini DRC BYOBE MALENGA alituandalia taarifa ifuatayo.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service