Katika siku ya pili ya kampeni za uchaguzi mkuu nchini, Waziri Mkuu na kiongozi wa upinzani wame tumia mbinu tofauti kuuza ujumbe wao waku imarisha uchumi pamoja naku kuza ajira nchini Australia.
Malcolm Turnbull amesifia sekta ya ujenzi ya mashua yenye thamani kubwa katika ukanda wa magharibi ya nchi, wakati Bill Shorten ame ahidi wafanya kazi katika sekta ya magari kuwa siku za usoni ni chanya katika sekta hiyo.
Hii hapa taarifa tuliyo waandalia.
Share





