Patrick: "Majirani waliniambia jinsi watu walikufa, na niliona nyumba za familia yangu zilizo bomolewa"

Visiting a Genocide Memorial in Rwanda

Mwanamke atazama picha kwenye kumbukumbu ya mauaji ya kimbari ya Rwanda. Source: AAP

Wanachama wa jamii yawanyarwanda wame chapisha kitabu kwa jina la Survivors Uncensored, chenye zaidi ya hadithi 100 kuhusu waliyo shuhudia wakati wa mauaji ya kimbari ya 1994.


Bw Patrick ambaye ni mmoja wa waandishi wa kitabu cha: Survivors Uncensored ali eleza SBS Swahili aliyo elezwa na jamaa na marafiki kuhusu yaliyo wafikia wapendwa wake wakati wa mauji ya kimbari ya 1994 nchini Rwanda.

Kitabu hicho kina zaidi ya hadithi 100 zinazo husu matukio waliyo shuhudia kabla, wakati na baada ya mauaji ya kimbari ya 1994 dhidi ya jamii yawa Tutsi nchini Rwanda.

Iwapo ungependa soma kitabu bonyeza hapa: https://www.amazon.com/SURVIVORS-UNCENSORED-TESTIMONIES-PRE-RESILIENCE/dp/B0B5KQSKQ8


Share

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Watch now