Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

GST kuwa mwiba kati ya waziri mkuu na viongozi wa mikoa

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull akihotubia kongamano la wanachama wa Liberal wa mkoa wa Magharibi Australia
Waziri Mkuu Malcolm Turnbull akihotubia kongamano la wanachama wa Liberal wa mkoa wa Magharibi Australia Source: AAP

Waziri Mkuu wa Australia Malcolm Turnbull ana tarajia kukumbwa na upinzani mkali toka kwa viongozi wa mikoa na majimbo kuhusu mipango ya serikali yaku badili jinsi mapato ya kodi ya bidhaa na huduma ama GST kama inavyo julikana hugawanywa.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Waziri Mkuu wa Australia Malcolm Turnbull ana tarajia kukumbwa na upinzani mkali toka kwa viongozi wa mikoa na majimbo kuhusu mipango ya serikali yaku badili jinsi mapato ya kodi ya bidhaa na huduma ama GST kama inavyo julikana hugawanywa.


Licha ya changamoto inayo msubiri Malcolm Turnbull amesisitiza kuwa mfumo waku gawa mapato ya GST, unastahili kuwa sawa kwa wa Australia wote.

Hata hivyo serikali kadha za mikoa nchini zime apa kuto badili mfumo wa mapato ya GST, bila kuafikiana na serikali zingine za mikoa na majimbo hali ambayo huenda ika sababisha pendekezo la Bw Turnbull kufeli.

 

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now