Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Waziri Mkuu aanza uteuzi wa mawaziri

Waziri Mkuu Malcolm Turnbull akutana na Mila Liu ndani ya bunge la taifa mjini Canberra
Waziri Mkuu Malcolm Turnbull akutana na Mila Liu ndani ya bunge la taifa mjini Canberra Source: AAP

Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Bw Turnbull anashinikizwa na chama cha Nationals awaongezee wizara katika serikali mpya, pamoja nakuwapandisha vyeo wahafidhina wachanga pamoja naku rudia sera ya mabadiliko kwa malipo ya uzeeni kwa watu wenye mapato ya juu.

Hata hivyo Bw Turnbull anaendelea kukaribia kupata wabunge wakutosha kuunda serikali bila msaada wa vyama vingine, wakati ushindani mkali na wakaribu unaendelea katika hesabu ya matokeo ya uchaguzi mkuu katika viti vya Hindmarsh, Herbert na Capricornia.

 


Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now