Migawanyiko na mivutano inaendelea kuongezeka nchini Kenya, masaa machache kabla ya marudio ya uchaguzi wa urais tarehe 26 Oktoba 2017. Baadhi ya vijana kutoka jamii yawa Kenya wanao ishi Australia walichangia maoni yao na SBS Swahili.
Share
LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Viongozi waki siasa nchini Kenya Source: State House, Kenya
Published
Updated
By SBS Swahili
Presented by SBS Swahili
Source: SBS, SBS
Share this with family and friends



