Watch FIFA World Cup 2026™

LIVE, FREE and EXCLUSIVE

Kura ya maoni yapata wa Australia wako tayari kukabiliana na benki zao

Mkurugenzi wa Oxfam Australia, Dkt Hellen Szoke
Dkt Hellen Szoke akitoa hotuba Source: Dominic Loneragan

Kura ya maoni mpya ime onesha kuwa, wa Australia wako tayari kukabiliana na benki ambazo hazi timizi wajibu wazo ipasavyo. Oxfam Australia ni shirika linalo toa msaada, shirika hilo lime sema kwamba takriban nusu ya watu walio shiriki katika kura ya maoni ambayo shirika hilo ilifanya, walisema wanaweza badili benki wanayo tumia, waki gundua kuwa taasisi hizo zinatumika bila maadili.


Published

Updated

By SBS Swahili

Source: SBS



Share this with family and friends


Kura ya maoni mpya ime onesha kuwa, wa Australia wako tayari kukabiliana na benki ambazo hazi timizi wajibu wazo ipasavyo. Oxfam Australia ni shirika linalo toa msaada, shirika hilo lime sema kwamba takriban nusu ya watu walio shiriki katika kura ya maoni ambayo shirika hilo ilifanya, walisema wanaweza badili benki wanayo tumia, waki gundua kuwa taasisi hizo zinatumika bila maadili.



Latest podcast episodes

Follow SBS Swahili

Download our apps

Listen to our podcasts

Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service

Stream now