Kasi inaongezeka kwa mshahara wachini kubadilishwa na mshahara "wakumudu maisha", kwa ajili yaku hakikisha hakuna mfanyakazi anaye ishi katika hali ya umaskini ila, kuna mgawanyiko wa maoni kuhusu jinsi yakutoa nyongeza hiyo.
Hatua hiyo inamaana wa Australia wengi wenye mapato ya chini, watapigwa jeki kifedha ila wazo hilo lime zua wasi wasi miongoni mwa waajiri, ambao wanaonya kuhusu uwezekano wa watu kupoteza ajira.
Ila wasi wasi kutoka kwa makundi ya waajiri pamoja na onyo kuhusu uwezekano wakupoteza ajira, kunaweza washawishi wapiga kura wengine kuunga mkono chama cha mseto.
Share






