Upendelea usio wazi ume tajwa kuwa sababu moja ambayo baadhi yawa Australia kutoka jumuiya ambazo Kiingereza si lugha yao ya kwanza, hukosa fursa zaku ajiriwa.
Mradi mpya ambao ume wekezwa na serikali ya Victoria una tarajiwa kukabiliana na visa vya ubaguzi kupitia mchakato waku omba ajira.
Makala yafuatayo yana chunguza baadhi ya changamoto ambazo waathirika wa swala hili hukabiliana nazo.
Share





