Ramadan ya mwaka huu itakuwa tofautia kuliko zingine katika historia

Viongozi waki Islamu waongoza ibada ya Ramadan ndani ya msikiti

Viongozi waki Islamu waongoza ibada ya Ramadan ndani ya msikiti Source: SBS

Viongozi wakisiasa najamii, wana ihamasisha jamii yawaislamu, wadumishe itifaki za umbali katika jamii, mwezi mtukufu wa Ramadani unapo anza.


Wito huo umejiri wakati mashirika ya misaada yakiislamu, yameripoti ongezeko la maombi ya msaada wakati huu wa janga la COVID-19, watu binafsi pamoja na biashara ziki kabiliana na wakati mgumu, wanapo jiandaa kushiriki katika Ramadan.

Ramadan itaadhimishwa hadi tarehe 24 Mei, wakati inatarajiwa vizuizi vitaregezwa, na watu wanaweza jumuika kusherehekea Eid, pengine kwa hali tofauti na kabla.


Share
Follow SBS Swahili

Download our apps
SBS Audio
SBS On Demand

Listen to our podcasts
Independent news and stories connecting you to life in Australia and Swahili-speaking Australians.
Ease into the English language and Australian culture. We make learning English convenient, fun and practical.
Get the latest with our exclusive in-language podcasts on your favourite podcast apps.

Watch on SBS
SBS World News

SBS World News

Take a global view with Australia's most comprehensive world news service
Ramadan ya mwaka huu itakuwa tofautia kuliko zingine katika historia | SBS Swahili