Wiki tatu zina salia hadi siku ya uchaguzi mkuu, serikali ya Turnbull ime wekeza bilioni za dola katika juhudi zaku hifadhi ufa mkubwa unao julikana kama The Great Barrier Reef ambalo linakabiliwa na athari kutoka majini na nchi kavu.
Chama cha upinzani kwa upande wake kime anza wiki kwaku ahidi kufuta mfumo wa chama cha mseto wa NBN, nakurejesha mfumo wa mtandao wa chama cha Labor.
Share





